• complaint |
    • Wasiliana nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania

  • Home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
  • Tunafanya nini?
    • Service one
    • Services two
  • Utawala
    • Organization Structure
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Utawala
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • Habari Mpya
    • Matukio
  • Projects
    • lic projects
  • Halmashauri

Rais Samia kufungua Mkutano Mkuu wa 39 wa ALAT

Posted on: March 8th, 2025

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika MkutanoMkuu wa 39 wa Mwaka wa Mamlaka ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT)utakaofanyika Machi 11-12, 2025 jijini Dodoma katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete.

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa ALAT Taifa, Mhe.Murshid Ngeze amesema mkutano huo ni wa kawaida ambao hufanyika kila mwaka,ambapo pamoja na mambo mengine, utajadili masuala mbalimbaliyanayoendelea katika serikali za mitaa na utafanya tathmini ya mipango na mikakati ya ALAT

Mhe.Ngeze amesema mkutano huo utahudhuriwa pia na wageni kutoka ndani na nje ya nchi. Amesema Katibu wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika Mashariki na mabalozi kutoka mataifa ya nje nao wanatarajiwa kuhudhuria katika mkutano huo.


Mhe.Ngeze ametumia nafasi hiyo pia kuwakaribisha kuhudhuria mkutano huo wajumbe wa mkutano huo akiwataja wajumbe hao kuwa ni wakurugenzi wa halmashauri zote nchini, Mameya wa halmashauri zote nchini, Wenyeviti wa halmashauri zote nchini na wabunge (katika kila mkoa mbunge mmoja) pia amewaalika pia wananchi kufuatilia matangazo ya mkutano huo kupitia vyombo vya habari mbalimbali vitakavyorusha matangazo hayo moja kwa moja kutoka jijini Dodoma

Matangazo

  • MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI. March 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Rais Samia Aziagiza Halmashauri Kusimamia Mapato na Matumizi Sahihi

    March 13, 2025
  • ALAT yaipongeza Serikali kwa Maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa

    March 11, 2025
  • Waziri Mchengerwa awataka Viongozi wa Mitaa kusukuma maendeleo katika maeneo yao

    March 12, 2025
  • NMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa 39 wa ALAT kwa Sh Milioni 170

    March 10, 2025
  • View All

Video

mikumi
More Videos

Quick Links

  • ALAT

Related Links

  • TAMISEMI
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Jengo la Sokoine,Barabara ya CDA Dodoma

    Postal Address: P.O.Box 2049 DODOMA

    Telephone: 0262323407

    Mobile: +255(0)784209840 au

    Email: alat_tz@yahoo.com

Mawasiliano mengine

   

Wanaotembelea

Visitors Counter

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 ALAT . All rights reserved.