• complaint |
    • Wasiliana nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania

  • Home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
  • Tunafanya nini?
    • Service one
    • Services two
  • Utawala
    • Organization Structure
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Utawala
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • Habari Mpya
    • Matukio
  • Projects
    • lic projects
  • Halmashauri

KIKAO CHA JUMUIYA YA SERIKALI ZA MITAA AFRIKA (UCLG) MACHI 07 – 08, 2022 NAIROBI, KENYA.

Monday 20th, March 2023
@ARUSHA

Mwenyekiti wa ALAT TAIFA Mhe. Murshid Ngeze, alipata mwaliko wa kuhudhuria Kikao cha Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika, kikao kilichofanyika Machi 07 – 08, 2022, Nairobi Kenya. Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ni mwanachama wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika (UCLG).

Mwaliko huo ulijumuisha Katibu Mkuu ALAT TAIFA, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke na Mwenyekiti wa WASEMI TAIFA.

Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika hufanya vikao vyake vya kawaida kwa kuzingatia Katiba ya (UCLG). Kikao hicho kiliJjadili maswala mbalimbali ya Serikali za Mitaa kikanda, Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Afrika pamoja na mambo mengine ya kiutendaji ya UCLG yanayohusu ustahimilivu, mikakati na malengo ya Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika.

 

Aidha jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), itaendelea kuwa Mwanachama wa UCLG (United Cities and Local Government of Africa) kwa kuzingatia Mkataba wa Umoja wa Afrika na sera zetu za mambo ya Nje.

Wasalaam.

Matangazo

  • MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI. March 17, 2022
  • View All

Latest News

  • MAADHIMISHO YA MWAKA MMOJA WA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA AWAMU YA TANO.

    March 17, 2022
  • MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI.

    March 17, 2022
  • PONGEZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO.

    February 20, 2022
  • Viongozi wa ALAT TAIFA wawashukuru Benki ya NMB.

    February 17, 2022
  • View All

Video

mikumi
More Videos

Quick Links

  • ALAT

Related Links

  • TAMISEMI
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Jengo la Sokoine,Barabara ya CDA Dodoma

    Postal Address: P.O.Box 2049 DODOMA

    Telephone: 0262323407

    Mobile: +255(0)754283505

    Email: alat_tz@yahoo.com au moses.kaaya@gmail.com

Mawasiliano mengine

   

Wanaotembelea

Visitors Counter

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 ALAT . All rights reserved.