• complaint |
    • Wasiliana nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania

  • Home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
  • Tunafanya nini?
    • Service one
    • Services two
  • Utawala
    • Organization Structure
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Utawala
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • Habari Mpya
    • Matukio
  • Projects
    • lic projects
  • Halmashauri

KIKAO CHA JUMUIYA YA SERIKALI ZA MITAA AFRIKA MASHARIKI (EALGA) TAREHE 6-9/02/2020 JIJINI ARUSHA.

Sunday 13th, July 2025
@ARUSHA

Mwenyekiti wa ALAT TAIFA Mhe. Murshid Ngeze, alipata mwaliko wa kuhudhuria Kikao cha Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika Mashariki, kikao kilichofanyika Jijini Arusha. Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ni mwanachama wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika Mashariki (EALGA).

Mwaliko huo ulijumuisha Mjumbe Mmoja wa Kamati ya Utendaji katika nafasi ya Wanawake ambapo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida, Mhe. Yagi Maulid Kiaratu aliweza kuwakilisha pamoja na Katibu Mkuu ALAT.

Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika Mashariki hufanya vikao vyake vya kawaida kwa kuzingatia Katiba ya (EALGA). Kikao hicho kilikuwa ni cha Kamati ya Utendaji ya EALGA kilichojadili maswala mbalimbali yanayohusu ustahimilivu, mikakati na malengo ya Jumuiya ya Serikali za Mitaa Afrika Mashariki.

Aidha jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), itaendelea kuwa Mwanachama wa EALGA (East Africa Local Governments Association) kwa kuzingatia Misingi ya Mkataba wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Wasalaam.

Matangazo

  • MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI. March 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Rais Samia Aziagiza Halmashauri Kusimamia Mapato na Matumizi Sahihi

    March 13, 2025
  • ALAT yaipongeza Serikali kwa Maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa

    March 11, 2025
  • Waziri Mchengerwa awataka Viongozi wa Mitaa kusukuma maendeleo katika maeneo yao

    March 12, 2025
  • NMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa 39 wa ALAT kwa Sh Milioni 170

    March 10, 2025
  • View All

Video

mikumi
More Videos

Quick Links

  • ALAT

Related Links

  • TAMISEMI
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Jengo la Sokoine,Barabara ya CDA Dodoma

    Postal Address: P.O.Box 2049 DODOMA

    Telephone: 0262323407

    Mobile: +255(0)784209840 au

    Email: alat_tz@yahoo.com

Mawasiliano mengine

   

Wanaotembelea

Visitors Counter

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 ALAT . All rights reserved.